News
Pamoja na ukuaji wake mzuri katika soko la dunia, wataalamu wanasema Tanzania kihistoria imeweka mkazo zaidi kwenye dhahabu ...
Marufuku hiyo imeanza leo Jumatano Aprili 23, 2025 imekuja baada ya kupita siku saba zilizotolewa na Serikali ya Tanzania kwa ...
Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameomba radhi Bunge na kufuta maneno aliyoyatoa dhidi ya Waziri wa Nchi, ...
Mapema leo Jumatano Aprili 23, 2025, Spika aliagiza Mbunge huyo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Mohamed Mchengerwa ...
Siku tatu za kujadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwakutanisha wadau pamoja na Serikali jijini Dar es Salaam lengo ...
Sekta ya madini nchini imevuka malengo yake baada ya kuchangia asilimia 10.1 ya Pato la Taifa (GDP) mwaka 2024 ikiwa ni mwaka ...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai hali ya ngumu ya maisha na changamoto za ajira zitaondoka endapo ...
Wabunge wamechachamaa kuhusu utolewaji wa ajira unaofanywa serikalini wakisema umekuwa na ukiukwaji mkubwa wa kimfumo huku ...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi, ameagiza hatua muhimu zichukuliwe kutatua changamoto ya umeme ...
Upelelezi katika kesi ya kujipatia Sh90 milioni kwa njia ya udanganyifu inayomkabili Mashella Kinemo (34) umekamilika.
Katika Mwaka wa Fedha 2025/26 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kushughulikia vibali 41,500 vya ajira ...
Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kugombea nafasi ya ubunge Jmbo la ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results